• ZEAS
  • EMIS
  • E-OFFICE
  • AJESR
  • ZanVibali
MOEVT
  • Home
  • About Us
  • News and Events
  • Staff Mail
  • Contact Us
  1. Vous êtes ici :  
  2. Accueil
  3. News and Events

MOEVT NEWS&EVENTS

SERIKALI KUIMARISHA MAZINGIRA YA UPATIKANAJI WA ELIMU BORA KULINGANA NA KASI YA ONGEZEKO LA WATU NCHINI.

Détails
4 janvier 2024
591

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya upatikanaji wa elimu bora kulingana na kasi ya ongezeko la watu Nchini.

Lire la suite...

UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI MAZIWANG'OMBE

Détails
4 janvier 2024
487

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuhakikisha elimu inakuwa miongoni mwa vipaumbele vya mwanzo kwa maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Original Viagra kan købes på vores apotek uden recept original Viagra priser. Den originale Viagra pris er højere end mange af de nye konkurrenter.

Lire la suite...

BARAZA LA MITIHANI LA ZANZIBAR LATANGAZA MATOKEO

Détails
30 décembre 2023
19182

Wizara ya elimu  na mafunzo ya amali  zanzibar imetangaza matokeo ya darasa la nne na  darasa la saba na ufaulu umeongezeka kwa asilimia 8.58  ukilinganisha  na ufaulu wa asilimia 86.42 wa mwaka 2022.

Respecto a la tasa de interés anual es de 47.8% y el CAT promedio de 106.75% sin IVA préstamos sin intereses en línea en México de 0%.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya  habari ya matokeo ya mitihani ya taifa ya darasa la nne na darasa la saba ya mwaka 2023 mkurugenzi wa baraza la mitihani la zanzibar othman omar othman amesema kwa mwaka 2023 matokeo yanaonesha idadi ya watahiniwa 17elfu mia tano na 47 wamefaulu kwa kiwango cha d sawa na asilimia 40.27  ,waliofaulu daraja la c ni asilimia 39.43  , watahiniwa waliopata daraja la b ni asilimia 14.59 na waliopata daraja la a ni asilimia 0.71.

Farmacie su prescrizione e senza prescrizione medica online Levitra senza ricetta in farmacia su altri medicinali la preoccupazione sta a zero.

Lire la suite...

HOTELI YA SBH MONICA ZANZIBAR SASA IMEFUNGULIWA RASMI

Détails
24 décembre 2023
603

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa amefungua Rasmi Hoteli ya SBH Monica Zanzibar ya Kampuni ya ZANPRO Investment Limited, Paje iliyopo Wilaya ya Kusini, Unguja.

Mhe. Lela amesema Serikali ya Awamu ya Nane inayaenzi kwa vitendo Mapinduzi Matukufu ya Mwaka 1964 Kwa kuleta mabadiliko na maendeleo makubwa Kwa wananchi kwa kuwepo kwa miradi mikubwa ambayo inasaidia kuleta ajira kwa wananchi jamboambalo litaweza kubadilisha hali za kiuchumi za wananchi hao na kukuza pato la Serikali Kwa ujumla.

Lire la suite...

SEMINA YA SIKU MOJA YA SHAMRA SHAMRA ZA KUFIKIA KILELE CHA SIKU YA WAALIMU DUNIANI

Détails
3 octobre 2023
1856

Bank ya NMB imetakiwa  kuendelea kuwatunza walimu kwa kuwapa mashirikiano mazuri ya kihuduma pamoja na kutoa  masuluhisho mbali mbali ya kifedha.

Amesema hayo Naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulgulam Hussein kwa niaba ya Waziri wa Elimu Zanzibar Mhe. Lela Muhammed Mussa, wakati akifungu semina ya siku moja ya shamra shamra za kufikia kilele cha siku ya Waalimu Duniani iliyo fanyika katika ukumbi wa  Sheikh Iddrisa Abdul-Wakil Kikwajuni Mjini Unguja .


Amesema, jitahada za Bank ya NMB , ni nzuri na zinaunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya Nane chini ya Ungozi wa Rais Mwinyi Katika kuhakikisha wazanzibari waliowengi hasa Waalimu wanajumuishwa katika mfumo rasmi wa kifedha ili kuinua vipato vyao vya kiuchumi.

Як взяти без відсотків гроші в борг на картку в Україні, якщо звертаєтеся вперше в МФО? Уважно читайте акційні умови.

Amesema, kwa upande wa Bank za akiba na Mikopo, NMB ni miongoni mwa Bank zinazoongoza kwa kubuni bidhaa zinazo lenga mahitaji ya kila makundi ya wateja katika soko hususan waalimu na jamii kwa ujumla.

Lire la suite...

Page 5 sur 19

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Contact Details

P.O.Box 394 Mazizini, Zanzibar
+255 24 223 2827
info@moez.go.tz

Main Menu

  • Home
  • About Us
  • News and Events
  • Staff Mail
  • Contact Us

Get in Touch

P.O.Box 394 Mazizini, Zanzibar
info@moez.go.tz

Our Institute

  • Kwarara Media Education Centre (KMEC)
  • The State University of Zanzibar (SUZA)
  • Vocational Training Authority(VTA)
  • Zanzibar Higher Education Loan Board(ZHELB)
  • Karume Institute of Science and Technology(KIST)
  • Zanzibar Examination Council(ZEC)
  • Zanzibar Institute of Education(ZIE)

External Links

  • Ministry of Education, Science and Technology (MOE)
  • The National Examination Council of Tanzania (NECTA)
  • The National Council for Technical Education (NACTE)
  • Tanzania Commission for University (TCU)
© MoEVT. Designed by ICT-Department.