- Détails
- 505
Mkurugenzi Idara ya Elimu Maandalizi na Msingi Bi.Fatma Mode Ramadan amewataka Walimu Wakuu wa Skuli zote za Msingi na Sekondari kusimamia majukumu yao ili kuleta maendeleo mazuri .
Mkurugenzi Idara ya Elimu Maandalizi na Msingi Bi.Fatma Mode Ramadan amewataka Walimu Wakuu wa Skuli zote za Msingi na Sekondari kusimamia majukumu yao ili kuleta maendeleo mazuri .
Naibu katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt.Mwanakhamis Adam Ameir amesema, katika kusimamia vizuri majukumu ya kila siku ipo haja ya kuendelea kupatiwa mafunzo mbalimbali yanayoweza kuwajengea uwezo Walimu kufikia malengo ya sekta ya Elimu nchini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bw.Khamis Abdulla Said leo tarehe 18/01/2024 amekutana na kufanya mazungumzo na walimu Wakuu wa Skuli za Maandalizi, Msingi na Sekondari wa Mjini Magharib katika Ukumbi wa Skuli ya Sekondari Haile Selassie Iliyoko Wilaya ya Mjini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali inatarajia kujenga Skuli 20 zitakazo tumia teknelojia ya vyuma na kuta za dry wall na Gypsam “steal structure”.
Waziri wa Afya Zanzibar Mh, Nassour Ahmed Mazrui amesema Mapinduzi ya Mwaka 1964, ndio siri ya Maendeleo ya Zanzibar kwani yameweza kupelekea kupiga hatua kubwa katika kuwaletea wananchi maendeleo. Ameyasema hayo katika Shamrashamra za kuadhimisha miaka 60 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar wakati alipokuwa akiweka jiwe la msingi Skuli ya Msingi Chumbuni Wilaya ya Mjini Unguja.