- Détails
- 84
Serikaali ya Mapinduzi Zanzibar inaendelea kuchua hatua mbali mbali kuhakikisha waandishi wa habari wanafanyakazi katika mazingira mazuri ili kufikisha ujumbe kwa jamii na kuchochea maendeleo.
Serikaali ya Mapinduzi Zanzibar inaendelea kuchua hatua mbali mbali kuhakikisha waandishi wa habari wanafanyakazi katika mazingira mazuri ili kufikisha ujumbe kwa jamii na kuchochea maendeleo.
Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Bi. Fatma Mabrouk Khamis amesema Maafisa Habari na Uhusiano wanadhamana ya kuonesha na kuelezea maendeleo yaliyofikiwa katika Wizara zao.
Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano waTanzania Dkt. Philip Isdori Mpango Amesema baada ya miaka 60 ya Muungano, Tanzania inajivunia maendeleo katika sekta mbali mbali ikiwemo Sekta ya Elimu ambayo inatolewa bila ubaguzi kwa wote.
Utekelezaji wa Mikutano ya Tathmini ya Elimu ya Zanzibar ni kilelezo tosha cha Serikali inayozingatia misingi ya utawala bora katika kuwaongoza na kuwaletea maendeleo wananchi wake katika nyanja mbali mbali ikiwemo Sekta ya Elimu.
Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar pamoja na wafanyakazi wote Leo tarehe 7/03/2024, wamesoma hitma ya kumuombea dua Aliye kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuanzia Mwaka 1964 hadi 1965 ambae pia ni Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi. iliyo fanyika katika Mskiti wa Jamii _Zej-Bar huko mazizini - Unguja.