RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali inatarajia kujenga Skuli 20 zitakazo tumia teknelojia ya vyuma na kuta za dry wall na Gypsam “steal structure”.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali inatarajia kujenga Skuli 20 zitakazo tumia teknelojia ya vyuma na kuta za dry wall na Gypsam “steal structure”.
Waziri wa Afya Zanzibar Mh, Nassour Ahmed Mazrui amesema Mapinduzi ya Mwaka 1964, ndio siri ya Maendeleo ya Zanzibar kwani yameweza kupelekea kupiga hatua kubwa katika kuwaletea wananchi maendeleo. Ameyasema hayo katika Shamrashamra za kuadhimisha miaka 60 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar wakati alipokuwa akiweka jiwe la msingi Skuli ya Msingi Chumbuni Wilaya ya Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya upatikanaji wa elimu bora kulingana na kasi ya ongezeko la watu Nchini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuhakikisha elimu inakuwa miongoni mwa vipaumbele vya mwanzo kwa maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla.
Wizara ya elimu na mafunzo ya amali zanzibar imetangaza matokeo ya darasa la nne na darasa la saba na ufaulu umeongezeka kwa asilimia 8.58 ukilinganisha na ufaulu wa asilimia 86.42 wa mwaka 2022.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari ya matokeo ya mitihani ya taifa ya darasa la nne na darasa la saba ya mwaka 2023 mkurugenzi wa baraza la mitihani la zanzibar othman omar othman amesema kwa mwaka 2023 matokeo yanaonesha idadi ya watahiniwa 17elfu mia tano na 47 wamefaulu kwa kiwango cha d sawa na asilimia 40.27 ,waliofaulu daraja la c ni asilimia 39.43 , watahiniwa waliopata daraja la b ni asilimia 14.59 na waliopata daraja la a ni asilimia 0.71.