Amesema hayo Meneja Rasilimali watu Tawala na Mipango Bi. Khadija Masoud Haji ambae pia kaimu Mkurugenzi wa bodi ya Huduma za Maktaba, akizungumza na Balozi wa Marekeni nchini Tanzania huko ofisini kwake Mjini Unguja.
Amesema, Ili kuweza kusonga mbele katika Sekta ya Elimu basi ipo haja ya kuwa na mashirikiano mazuri na wadau mbali mbali wa Elimu.
Amesema, Bodi ya huduma za Maktaba Zanzibar, bado inahitaji mashirikiano ya kutosha ikiwemo upatikanaji wa Vifaa ili kuweza kutoa huduma bora kwa jamii.