• EMIS
  • E-OFFICE
  • Home
  • About Us
  • News and Events
  • Staff Mail
  • Contact Us
  1. You are here:  
  2. Home
  3. News and Events

MOEVT NEWS&EVENTS

UFUNGUZI WA MAONESHO YA NNE YA WIKI YA ELIMU YA JUU ZANZIBAR.

Details
02 August 2023
111

Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe.  Zubeir Ali Maulid amesema,  jitihada zinazochukuliwa na Serikali katika kujenga hamasa kwa Wanafunzi kusoma na kupata matokeo yaliyokuwa bora.

Ameyasema hayo alipokuwa akifungua Maonesho ya Juma la Elimu ya Juu kwa niaba ya Makamo wa Pili wa Rais huko Maisara, amesema, Maonesho hayo ni sehemu ya ubunifu wa Wizara ya Elimu katika kukuza huduma za kielimu.

Amesema, Serikali imekuwa inahitaji Wataalamu wa sekta mbali mbali ili kuendelea kufanya kazi nchini.

Amesema, hatua ya Wizara ya Elimu kuweka Maonesho hayo itafikiwa lengo ikiwemo Wanafunzi kujifunza kupitia Maonesho hayo ikiwemo kujua namna bora ya kujiunga na Vyuo mbalimbali vilivyopo nchini.

Read more …

Semina Elekezi kwa Walimu Wakuu wa Skuli za Sekondari za Serikali Kisiwani Unguja.

Details
21 July 2023
130

Naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Ali Abdulgulam Hussein amewataka Walimu wakuu kusimamia vyema kamati za shule ili wasaidie kuondoa tatizo la utoro wanafunzi .

Naibu waziri Gulam amesema hayo katika semina elekezi kwa walimu wa kuu wa Skuli za Sekondari za Serikali kisiwani Unguja Katika ukumbi wa mikutano Ocean View huko Kilimani Mjini Unguja.

Amesema  ikiwa walimu  watatekeleza vyema majukumu yao pamoja na mambo mengine wanakamati watakuwa ni walinzi wa mazingira na miundominu ya skuli.

Read more …

Ukarabati wa Majengo ya Chuo cha IIT Madras.

Details
21 July 2023
205

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe . Ali Abdulgulam Hussein amefanya ziara nakuangalia  harakati za ukarabati wa majengo ya Chuo cha IIT Madras kampas ya Zanzibar , huko Bweleo Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.

Hafla ya Ufunguzi wa Klabu za Pencheni za ZSSF.

Details
21 July 2023
113

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Ali Abdulgulam Hussein amesema ni haki ya Msingi kila binaadam kupata hifadhi ya jamii.

Amesema hayo wakati wa hafla ya ufunguzi wa klabu za pencheni za ZSSF ikiwa ni shamrashamra za kutimiza miaka 25 tokea kuanzishwa mfuko wa hifadhi ya jamii Zanzibar  (ZSSF) . katika ukumbi wa kariakoo Mkoa wa Mjini Magharib Unguja.

Amesema, Mfuko wa hifadhi pia una haki ya kutoa taaluma kwa jamii  kwani mfuko wa hifadhi ni haki ya kila mtu  kwa mujibu wa mipango ya nchi husika.

Aidha amewasisitiza Wanafunzi  kuwa mabalozi wazuri wa kuelimisha jamii juu ya kijiunga na mfuko wa hifadhi. 

Read more …

Ziara ya Naibu Waziri skuli ya Maandalizi na Msingi ya Uzi Ng'ambwa

Details
11 July 2023
138

Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Ali Abdulgulam Hussein Leo Tarehe 07/07/2023 ametembelea Skuli ya Maandalizi na Msingi ya Uzi ngambwa baada ya kuezuka paa kutokana na upepo mkali uliotokea leo.

Katika ziara hiyo ameambatana na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara bwana Khalid Massoud Wazir  na kuahidi matengenezo yataanza mara moja ili Wanafunzi waweze kutumia haraka iwezekavyo.

Page 9 of 12

  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12

Contact Details

P.O.Box 394 Mazizini, Zanzibar
+255 24 223 2827
info@moez.go.tz

Main Menu

  • Home
  • About Us
  • News and Events
  • Staff Mail
  • Contact Us

Get in Touch

P.O.Box 394 Mazizini, Zanzibar
info@moez.go.tz

Our Institute

  • Kwarara Media Education Centre (KMEC)
  • The State University of Zanzibar (SUZA)
  • Vocational Training Authority(VTA)
  • Zanzibar Higher Education Loan Board(ZHELB)
  • Karume Institute of Science and Technology(KIST)
  • Zanzibar Examination Council(ZEC)
  • Zanzibar Institute of Education(ZIE)

External Links

  • Ministry of Education, Science and Technology (MOE)
  • The National Examination Council of Tanzania (NECTA)
  • The National Council for Technical Education (NACTE)
  • Tanzania Commission for University (TCU)
© MoEVT. Designed by ICT-Department.