- Detalles
- 8
Mkuu wa Divisheni ya Huduman za Wanafunzi, Idara ya Elimu Sekondari, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Ndg. Suhuba Daudi Issa ameongoza mafunzo maalum ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) kwa wanafunzi wa Skuli za Sekondari kutoka Wilaya mbalimbali za Unguja.