- Detalles
- 61
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) linatarajia kulifanyia matengenezo makubwa jengo la Majestic cinema la Mji mkongwe na kuwa kituo kikuu cha utamaduni.
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) linatarajia kulifanyia matengenezo makubwa jengo la Majestic cinema la Mji mkongwe na kuwa kituo kikuu cha utamaduni.
Ufanyaji wa tafiti za kielimu utapelekea kuibua changamoto pamoja na kubuni mikakati na mipango madhubuti ya kielimu itakayosaidia kuinua sekta hiyo kwa maslahi mapana ya maendeleo ya kielimu nchini.
Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano waTanzania Dkt. Philip Isdori Mpango Amesema baada ya miaka 60 ya Muungano, Tanzania inajivunia maendeleo katika sekta mbali mbali ikiwemo Sekta ya Elimu ambayo inatolewa bila ubaguzi kwa wote.
Utekelezaji wa Mikutano ya Tathmini ya Elimu ya Zanzibar ni kilelezo tosha cha Serikali inayozingatia misingi ya utawala bora katika kuwaongoza na kuwaletea maendeleo wananchi wake katika nyanja mbali mbali ikiwemo Sekta ya Elimu.
Uongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar pamoja na wafanyakazi wote Leo tarehe 7/03/2024, wamesoma hitma ya kumuombea dua Aliye kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuanzia Mwaka 1964 hadi 1965 ambae pia ni Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaj Mzee Ali Hassan Mwinyi. iliyo fanyika katika Mskiti wa Jamii _Zej-Bar huko mazizini - Unguja.