Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bw. Khamis Abdulla Said, amefanya ziara ya Kushtukiza katika Skuli ya Sekondari Mwera, ili kuona changamoto zinazowakabili nakuzitafutia ufumbuzi. Katika ziara hiyo, pia Katibu Mkuu ameonana na Walimu wanofanya mafunzo kwa vitendo na kuwataka kuacha kufanya kazi kwa mazowea. Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasiliano (WEMA).

Серед позичальників популярною послугою став мікрокредит онлайн на картку в мікрофінансовій організації. В банках такого поки що нема. Как в сегодняшних реалиях оформить микрозайм без отказа с мгновенным решением? Посмотрите лучшие предложения на нашем сайте.