{"id":2643,"date":"2026-08-11T00:56:06","date_gmt":"2026-08-11T00:56:06","guid":{"rendered":"https:\/\/moez.go.tz\/?p=2643"},"modified":"2026-08-11T00:56:07","modified_gmt":"2026-08-11T00:56:07","slug":"wenyeviti-wa-kamati-za-skuli-watakiwa-kuhamasisha-vijana-kunufaika-na-fursa-za-elimu-mbadala","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/moez.go.tz\/?p=2643","title":{"rendered":"WENYEVITI WA KAMATI ZA SKULI WATAKIWA KUHAMASISHA VIJANA KUNUFAIKA NA FURSA ZA ELIMU MBADALA"},"content":{"rendered":"\n<figure class=\"wp-block-image size-large\"><img fetchpriority=\"high\" decoding=\"async\" width=\"1024\" height=\"682\" src=\"https:\/\/moez.go.tz\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/WhatsApp-Image-2026-08-11-at-03.51.35-1-1024x682.jpeg\" alt=\"\" class=\"wp-image-2645\" srcset=\"https:\/\/moez.go.tz\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/WhatsApp-Image-2026-08-11-at-03.51.35-1-1024x682.jpeg 1024w, https:\/\/moez.go.tz\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/WhatsApp-Image-2026-08-11-at-03.51.35-1-300x200.jpeg 300w, https:\/\/moez.go.tz\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/WhatsApp-Image-2026-08-11-at-03.51.35-1-768x512.jpeg 768w, https:\/\/moez.go.tz\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/WhatsApp-Image-2026-08-11-at-03.51.35-1-18x12.jpeg 18w, https:\/\/moez.go.tz\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/WhatsApp-Image-2026-08-11-at-03.51.35-1-1200x800.jpeg 1200w, https:\/\/moez.go.tz\/wp-content\/uploads\/2026\/08\/WhatsApp-Image-2026-08-11-at-03.51.35-1.jpeg 1280w\" sizes=\"(max-width: 1024px) 100vw, 1024px\" \/><\/figure>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-09d7519982a3c45f5245fb762e30ee26 wp-block-paragraph\">Mkurugenzi wa Elimu Mbadala na Watu Wazima, Ndugu Mashavu Ahmada Fakih, amewataka wenyeviti wa kamati za skuli kuendelea kuhamasisha vijana kutumia programu mbalimbali za Serikali zinazolenga kuwapatia ujuzi na maarifa yatakayowawezesha kujiendeleza kimaisha.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-1d0376d162f012f8f2088e1dcb0eb36e wp-block-paragraph\"><br>Ndugu Mashavu ameyasema hayo leo, tarehe 10 Agosti 2026, wakati akizungumza katika kikao cha kuwaelimisha wenyeviti hao kuhusu fursa zinazopatikana katika Sekta ya Elimu Mbadala na Watu Wazima, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kituo cha Elimu Mbadala Rahaleo, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-4e4c9765875c30a022f7fd3111fd2e0f wp-block-paragraph\"><br>Amesema katika dunia ya sasa, kila mmoja anapaswa kuwa na uwezo wa kusoma na kuandika, sambamba na kuwa na ujuzi wa kutumia teknolojia, ili aweze kukabiliana na mabadiliko na mahitaji ya wakati.<br>Amesisitiza kuwa ni muhimu wananchi, hususan vijana, kutumia fursa zinazotolewa kupitia vituo vya elimu mbadala na watu wazima ili kupata maarifa na ujuzi utakaowawezesha kujiendeleza kielimu, kiuchumi na kijamii.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-d4aa9fa67eaa7d86e793592dcb3f6234 wp-block-paragraph\"><br>Kwa upande wao, maafisa kutoka Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima waliowasilisha mada katika kikao hicho, wamewataka wenyeviti wa kamati za skuli kuhakikisha elimu na taarifa walizozipata zinawafikia wananchi katika maeneo yao, ili jamii iweze kutambua na kunufaika na fursa zinazopatikana katika vituo hivyo.<br>Wakati huo huo, washiriki wa kikao hicho walipata fursa ya kutoa maoni, mapendekezo pamoja na kueleza changamoto zinazowakabili katika utekelezaji wa majukumu yao, kwa lengo la kutafuta ufumbuzi na kuongeza ufanisi wa programu za Elimu Mbadala na Watu Wazima.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-c58f3abfef3c43f49ac9d34c19e1d8cc wp-block-paragraph\">Imetolewa na Kitengo cha Habari, Mawasiliano na Uhusiano _ (WEMA)<\/p>\n\n\n\n<p class=\"wp-block-paragraph\"><\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Mkurugenzi wa Elimu Mbadala na Watu Wazima, Ndugu Mashavu Ahmada Fakih, amewataka wenyeviti wa kamati za skuli kuendelea kuhamasisha vijana kutumia programu mbalimbali za Serikali zinazolenga kuwapatia ujuzi na maarifa yatakayowawezesha kujiendeleza kimaisha. Ndugu Mashavu ameyasema hayo leo, tarehe 10 Agosti 2026, wakati akizungumza katika kikao cha kuwaelimisha wenyeviti hao kuhusu fursa zinazopatikana katika Sekta ya Elimu Mbadala na Watu Wazima, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kituo cha Elimu Mbadala Rahaleo, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja. Amesema katika dunia ya sasa, kila mmoja anapaswa kuwa na uwezo wa kusoma na kuandika, sambamba na kuwa na ujuzi wa kutumia teknolojia, ili aweze kukabiliana na mabadiliko na mahitaji ya wakati.Amesisitiza kuwa ni muhimu wananchi, hususan vijana, kutumia fursa zinazotolewa kupitia vituo vya elimu mbadala na watu wazima ili kupata maarifa na ujuzi utakaowawezesha kujiendeleza kielimu, kiuchumi na kijamii. Kwa upande wao, maafisa kutoka Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima waliowasilisha mada katika kikao hicho, wamewataka wenyeviti wa kamati za skuli kuhakikisha elimu na taarifa walizozipata zinawafikia wananchi katika maeneo yao, ili jamii iweze kutambua na kunufaika na fursa zinazopatikana katika vituo hivyo.Wakati huo huo, washiriki wa kikao hicho walipata fursa ya kutoa maoni, mapendekezo pamoja na kueleza changamoto zinazowakabili katika utekelezaji wa majukumu yao, kwa lengo la kutafuta ufumbuzi na kuongeza ufanisi wa programu za Elimu Mbadala na Watu Wazima. Imetolewa na Kitengo cha Habari, Mawasiliano na Uhusiano _ (WEMA)<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":2644,"comment_status":"closed","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-2643","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-latest_news"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2643","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=2643"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2643\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2646,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2643\/revisions\/2646"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/2644"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=2643"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=2643"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=2643"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}