{"id":2352,"date":"2026-02-11T09:34:30","date_gmt":"2026-02-11T09:34:30","guid":{"rendered":"https:\/\/moez.go.tz\/?p=2352"},"modified":"2026-02-11T09:34:31","modified_gmt":"2026-02-11T09:34:31","slug":"vta-yapatiwa-mafunzo-ya-mfumo-wa-zgamis-kutoka-ofisi-ya-msajili-wa-hazina-zanzibar","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/moez.go.tz\/?p=2352","title":{"rendered":"VTA YAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA ZGAMIS KUTOKA OFISI YA MSAJILI WA HAZINA ZANZIBAR"},"content":{"rendered":"\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-869d3937601222eeb5410feff1458786 wp-block-paragraph\">Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar (VTA) leo imepokea ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar kwa ajili ya kutoa mafunzo kuhusu mfumo wa usimamizi wa mali za Serikali unaojulikana kama ZGAMIS (Zanzibar Government Asset Management Information System).<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-9a7c8c6affa1c3899701ff2f0b772183 wp-block-paragraph\">Mafunzo hayo yanayotarajiwa kufanyika kwa muda wa siku tatu yanaendeshwa katika Ukumbi wa Ofisi Kuu za VTA zilizopo Malindi. Wakufunzi wa mafunzo hayo ni Ndugu Suleiman Mohammed Bakari, Msimamizi wa Mali kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina, pamoja na Ndugu Munira Haji Hamza, Msimamizi wa Mali na Hazina Zanzibar.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-f1f3129606d7f7e18f537e5dae892de7 wp-block-paragraph\">Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Ndugu Suleiman Mohammed Bakari ambaye ni mkufunzi mkuu, alieleza kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo washiriki katika kuelewa na kusimamia mali za Serikali kwa kuzingatia miongozo na taratibu rasmi za Serikali kupitia mfumo wa ZGAMIS.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-74c20b39e53e3f924e65fb3b99cb7f63 wp-block-paragraph\">Alisisitiza kuwa kila mtumishi wa Serikali ana wajibu wa kutumia, kusimamia na kutunza mali za umma kwa uadilifu na umakini ili kuhakikisha zinadumu na kuwa na ubora unaotakiwa. Aidha, alibainisha kuwa mali zote za Serikali zinapaswa kusajiliwa katika mfumo huo kabla ya kuanza kutumika rasmi.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-fcbc65a2c632edeee5e8b14159abcdd3 wp-block-paragraph\">Kwa upande wake, alikumbusha kuwa usajili sahihi wa mali za umma katika mfumo wa ZGAMIS ni hatua muhimu ya kuimarisha uwajibikaji, uwazi na usimamizi bora wa rasilimali za Serikali.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-d2b59517482c6088e25d036b591d103c wp-block-paragraph\">Mafunzo hayo yanatarajiwa kuendelea kesho tarehe 12 Februari 2026 kwa kuzingatia ratiba iliyopangwa.<\/p>\n\n\n\n<p class=\"has-text-align-left has-black-color has-text-color has-link-color wp-elements-d8973ad0fb022e0d0a0ac374454b39d3 wp-block-paragraph\">Imetolewa na:<br>Kitengo cha Habari na Uhusiano Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar.<br>Tarehe 11 Februari 2026.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar (VTA) leo imepokea ugeni kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina Zanzibar kwa ajili ya kutoa mafunzo kuhusu mfumo wa usimamizi wa mali za Serikali unaojulikana kama ZGAMIS (Zanzibar Government Asset Management Information System). Mafunzo hayo yanayotarajiwa kufanyika kwa muda wa siku tatu yanaendeshwa katika Ukumbi wa Ofisi Kuu za VTA zilizopo Malindi. Wakufunzi wa mafunzo hayo ni Ndugu Suleiman Mohammed Bakari, Msimamizi wa Mali kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina, pamoja na Ndugu Munira Haji Hamza, Msimamizi wa Mali na Hazina Zanzibar. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Ndugu Suleiman Mohammed Bakari ambaye ni mkufunzi mkuu, alieleza kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo washiriki katika kuelewa na kusimamia mali za Serikali kwa kuzingatia miongozo na taratibu rasmi za Serikali kupitia mfumo wa ZGAMIS. Alisisitiza kuwa kila mtumishi wa Serikali ana wajibu wa kutumia, kusimamia na kutunza mali za umma kwa uadilifu na umakini ili kuhakikisha zinadumu na kuwa na ubora unaotakiwa. Aidha, alibainisha kuwa mali zote za Serikali zinapaswa kusajiliwa katika mfumo huo kabla ya kuanza kutumika rasmi. Kwa upande wake, alikumbusha kuwa usajili sahihi wa mali za umma katika mfumo wa ZGAMIS ni hatua muhimu ya kuimarisha uwajibikaji, uwazi na usimamizi bora wa rasilimali za Serikali. Mafunzo hayo yanatarajiwa kuendelea kesho tarehe 12 Februari 2026 kwa kuzingatia ratiba iliyopangwa. Imetolewa na:Kitengo cha Habari na Uhusiano Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar.Tarehe 11 Februari 2026.<\/p>\n","protected":false},"author":1,"featured_media":2353,"comment_status":"closed","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[1],"tags":[],"class_list":["post-2352","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-latest_news"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2352","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/users\/1"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcomments&post=2352"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2352\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2354,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/posts\/2352\/revisions\/2354"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=\/wp\/v2\/media\/2353"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fmedia&parent=2352"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Fcategories&post=2352"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/moez.go.tz\/index.php?rest_route=%2Fwp%2Fv2%2Ftags&post=2352"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}